BABY MADAHA AAMUA KUACHA MZIKI NA FILAMU..SKENDO NA PRESHA ZIMEMCHOSHA
Baby Madaha Amehabrisha kuwa Ameamua kuacha fani ya mziki na ya Uigizaji kwa kila anachosema kuwa kuna maisha ya Presha , kila unalofanya linaandikwa mitandaoni na magazetini , Amesema kuwa kibao chake cha mwishi kinachoitwa MR DJ ndio kitakuwa cha mwisho yeye kufanya katika music...Amesema anatarajia kurudi katika fani aliyosomea Darasani....
Mweee Utaweza?
0 comments: