SHAFFIH DAUDA"LEODEGAR TENGA ALI-FAIL BIG TIME KWENYE UTAWALA WAKE TFF-HASA HILI LA MIKATABA MIBOVU"


"Nilitegemea Juzi niliposema mikataba mingi iliyosainiwa wakati wa utawala wa Tenga ilikuwa BOMU, cha kusikitisha baadhi ya rafiki zangu humu ndani walikuja na maneno ya kashfa, badala ya kufanya utafiti kwa upande wao kugundua kama nililolisema lina ukweli ndani yake ama la,nadhani sasa baada ya kwenda viwanjani na kujionea hili la Tiketi za electronic mtakuwa mmeanza kuamini maneno yangu niliyoyafanyia utafiti wa kina"

Kauli yake ya Mwanzo:
"Niliwahi kusema Leodegar Tenga kwenye utawala wake wa TFF as an Individual alikuwa mtu poa sana lakini kwenye utawala wake akiwa kama Raisi pale TFF ali-fail big time,alifumbia macho shirikisho kuingia MIKATABA MIBOVU kabisa on Earth." Shaffih Dauda

0 comments: