HATIMAYE HUDDAH MONROE AMTAJA MPENZI WAKE MPYA..HUYU HAPA
Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika
jumba la Big Brother msimu uliopita, Huddah Monroe ambaye pia alikuwa
mpenzi wa rapper Prezzo, ametangaza kuwa kwenye penzi jipya na msanii
mwingine wa Kenya aitwae Colonel Mustafa.
0 comments: