TUKIO KATIKA PICHA AJALI MBAYA YATOKEA MIKESE MOROGORO LEO ASUBUHI
Ankle
habari. Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, tumekutana na na ajali
mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na
kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni
dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Mdau Sixmund
Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea
Mlipuko mkubwa wakati matenki ya mafuta yakilipuka
Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto huo
0 comments: